Uncategorized
Klabu ya Ujasiliamali Morogoro: Kujenga Kizazi cha Wajasiriamali
Chuo cha Ualimu Morogoro kinashuhudia kuongezeka kwa ubunifu na ujasiriamali miongoni mwa wanachuo wake, huku ikikuza vipaji na uwezo wa...
Mrejesho wa tathmini ya shughuli za TESP
Mrejesho huu uliandaliwa na kuwasilishwa na Mkuu wa Chuo Augustine J. Sahili pamoja na Mkufunzi Moshi H. Ngogomela, Mratibu wa...
Siku ya wafanyakazi duniani
Siku ya wafanyakazi duniani huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 1 Mei. Chuo cha Ualimu Morogoro ni miongoni mwa taasisi ambazo...
Ziara ya mabalozi kutoka nchi za Umoja wa Ulaya.
Mkuu wa chuo Ndg. Augustine J. Sahili akiwa sambamba na baadhi ya wafanyakazi wa Chuo cha Ualimu Morogoro wakiwapokea wageni...
Mwaliko wa sherehe za mahafali ya 53 ya Chuo cha Ualimu Morogoro
Uongozi wa Chuo cha Ualimu Morogoro unao furaha sana kuwakaribisha katika mahafali ya 53. Sherehe hizi zitafanyika katika ukumbi wa...
Warsha ya wakuu wa vyuo vya ualimu na waratibu wa dawati la jinsia na ujumuishi.
Warsha hii imehusisha majadiliano juu ya utekelezaji wa shughuli zilizotekelezwa na mradi wa TESP kwa kila chuo ili kutoa fursha...
Uchaguzi wa seriakali ya wanachuo kupitia mtandao (ONLINE ELECTION SYSTEM)
Chuo cha Ualimu Morogoro kimefanikiwa kufanya uchaguzi wa Serikali ya Wanachuo kwa kupitia mtandao (Online Election System).Mafanikio haya yamechochewa na...